Mbunge wa jimbo la segerea (CCM)mhe Makongoro Mahanga akilakiwa na wafuasi wa wake baada ya kuibuka kidedea katika kesi iliyokuwa inamkabili dhidi ya mgombea wa chadema bw; Fredi Mpendazoe. |
Baadhi ya wafuasi wa Fredi mpendazoe na wafuasi wa Makongoro Mahanga wakiwa nje ya mahakama mara baada ya hukumu ya kesi hiyo kutolewa. |
Wafuasi wa mpendazoe wakiwa na picha ya mteja wao baada ya kushindwa kesi hiyo. |
ya kesi hiyo kumalizika.
No comments:
Post a Comment