Naibu Waziri wa maliasili na utalii Mhe; Lazaro Nyarandu akisisitiza jambo katika hafla hiyo ya makabidhiano ya ofisi iliyofanyika leo katika wizara ya maliasili na utalii. |
Aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii Mhe;Ezekieli Maige kulia wakiingia ofisini waziri na Naibu wake kuanza kazi rasmi baada ya kukabidhiwa ofisi leo. |
Waziri wa maliasili na utalii Mh; Balozi Hamisi Kagasheki akiwa kwenye picha ya pamoja na watendaji wa wizara hiyo. |
No comments:
Post a Comment