Friday, May 11, 2012

HALI YA USAFI YAZIDI KUWA TETE JIJINI DAR ES SALAAM

Siku kadhaa baada ya kaimu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bi Mwantum Mahiza kuelezea hali tete ya usafi wa jiji la dar es salaam nakueka mikakati mbalimbali hali bado ni tete katika hilo kama ilivyokutwa na mwandishi wetu eneo la Mtaa wa msimbazi manispaa ilala jijini dar es salaam leo.

No comments:

Post a Comment