Tuesday, April 24, 2012

NABAKI YA KABIZI ZAWADI KWA WASHINDI WA KILA MWEZI

Mo.eneja mauzo wa Nabaki Africa Bw;Jeff Kayton akiongea na waandishi wa habari wiki mbili zilizopita katika makao makuu ya Nabaki Africa Ltd jijini Dar es salaam wakati akikabidhi zawadi ya vocha yenye thamani ya shilingi laki moja na hamsini katika droo ya shindano la shinda paa kutoka nabaki africa mwezi wa pili na watatu ambapo washindi ni Bw; Isaack Limo na Kasty Shirima .kulia kwake katikati ni Afisa masoko Bi Adelina Lashekya wa kwanza kulia mshindi wa shindano hilo Bw; Isaac Lim

                         Afisa masoko Bi Adelina Lashekya akitoa ufafanuzi kuhusiana na shindano hilo.

No comments:

Post a Comment