Naibu
Mkurugenzi maswala ya watumiaji wa huduma za mawasiliano (TCRA)atoa mada katika
semina hiyo
Naibu
meya wa manispaa ya illala Mhe:Kheri Kessy akisoma hotuba wa ufunguzi wa semina
ya madiwani na wakuu wa idara kutoka manispaa ya ilala iliondaliwa na mamalaka
ya mawasiliano Tanzania lengo la semina hiyo ni kuwapa elimu viongozi hao
katika mabadiliko ya utangazaji kutoka kutoka analogi kwenda digitali pamoja na
umuhimu wa mteja kupata nakujua haki zake kutoka mamlaka ya mawasiliano
Tanzania (kulia kwake)Naibu Mkurugenzi maswala ya watumiaji wa huduma za
mawasiliano (TCRA
Baadhi
ya wajumbe walioudhuria semina hiyo
)aibu
Mkurugenzi maswala ya watumiaji wa huduma za mawasiliano (TCRA) kulia
akimkabdhi zawadi ya simu Naibu meya wa manispaa ya ilala Mhe:Kheri Kessy
No comments:
Post a Comment