Naibu
waziri wa fedha Mhe:Sada Salum akisoma hotuba wakati wa ufunguzi wa mkutano wa
pili wa mwaka wamapitio wa mfumo wa takwimu wakujadili umuhimu wa takwimu
katika jamii wakati wa kupanga utekelezaji wa miradi mbli mbali ya serikali
pamoja na sekta binafsi ambapo amesema katika mkutano huo ulioshirikisha
watakwimu pamoja na wafadhili ambao kutoka benki ya dunia wenye lengo kupitia
changamoto pamoja na mafanikio yalipatikana tangia kuanzishwa kwa mfumo huo
vilevile ameitaka jamii kutumia mfumo huo kwani ndio chachu ya maendeleo kwa
jamii yoyote ile.mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa
(DICC)jijini Dar es salaam leo.
Baadhi
ya wadau wakiwa kwenye mkutano huo wa pili wa mwaka wamapitio wa mfumo wa
takwimu wakujadili umuhimu wa takwimu katika jamii
No comments:
Post a Comment