maneja
wa mradi wa damu salama Taifa Dr.Efesper Nkya( kushoto) akisisitiza jambo
wakatia wa makabidhiano hayo
Afisa
masoko tigo Bw:Alex Msigara(katikati)akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari
kabla ya kukabidhi hundi hiyo kwa maneja wa mradi wa damu salama
hundi yenye thamani ya shilingi milioni 32 za kitanzania ikiwa ni ufadhili
uliotolewa na kampuni ya simu ya za mkononi tigo katika kudhamini mpango wa
Taifa wa damu salama juu ya uwamasishaji wa uchangiaji wa damu salama wa hiyari
kwenye shughuli za siku ya ukimwili duniani zitakazofanyika Decemba 1 mwaka
huu(kushoto)maneja wa mradi wa damu salama Taifa Dr.Efesper Nkya(kulia)Aafisa
uhusiano msaidizi tigo Bi:Tuli Mwaikenda
ADVERTISEMENTS/MATANGAZO
Monday, November 26, 2012
KAMPUNI YA TIGO YADHAMINI MPANGO WA DAMU SALAMA
Afisa
masoko tigo Bw:Alex Msigara (kushoto) akimkabidhi maneja wa mradi wa damu
salama Dr.Efesper Nkya hundi yenye thamani ya shilingi milioni 32 za kitanzania
ikiwa ni ufadhili uliotolewa na kampuni ya simu ya za mkononi tigo katika
kudhamini mpango wa Taifa wa damu salama juu ya uwamasishaji wa uchangiaji wa
damu salama wa hiyari kwenye shughuli za siku ya ukimwili duniani
zitakazofanyika Decemba 1 mwaka huu katika uwajna wa ilulu ulioko mjini lindi
ambapo Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe:Dr.Jakaya Mrisho kikwete
anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye siku hiyo ya ukimwi duniani
(katikati)Aafisa uhusiano msaidizi tigo Bi:Tuli Mwaikenda.akishuhudia
makabidhiano hayo.hafla hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa JB Belmont jijini Dar
es salaam,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment