Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kitengo cha Tigo Pesa cha Kampuni ya Tigo,
Goodluck Charles akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar
es Salaam, kuhusu uzinduzi wa promosheni itakayomuwezesha mteja
atakayetuma fedha kwa Tigo Pesa na kuzawadiwa muda wa maongezi. Kulia ni
Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Tully Mwaikenda.
No comments:
Post a Comment