Meneja wa Bidhaa za Simu za Kimataifa wa Kampuni ya Tigo, Mwajuma
Mwenda (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es
Salaam leo, kuhusu huduma mpya ya wateja wa malipo kabla kupata
mawasiliano ya simu ya mtandao huo wakiwa katika nchi za Kenya, Rwanda
na Uganda.Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Tully Mwaikenda
Ofisa Masoko wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Jacquiline Nnunduma akielezea
jinsi wateja wao watakavyofaidika na huduma hiyo wakiwa katika nchi za
Kenya, Uganda na Rwanda. Kuliani Ofisa Uhusiano wa Tigo, Tully Mwaikenda
Meneja wa Bidhaa za Simu za Kimataifa wa Kampuni ya Tigo, Mwajuma Mwenda
(kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es
Salaam leo, kuhusu huduma mpya ya wateja wa malipo kabla kupata
mawasiliano ya simu ya mtandao huo wakiwa katika nchi za Kenya, Rwanda
na Uganda.Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Tully Mwaikenda.
No comments:
Post a Comment