ADVERTISEMENTS/MATANGAZO
Thursday, November 29, 2012
AGAPE TELEVISHINI KURUSHA LIVE LIGI YA NBA
Afisa
uhusiano wa Agape Televishen (ATN) Bw:Bbrian Urassa akiongea na waandishi wa
habari kwenye ukumbi wa mikutano wa idara ya habari maelezo jijini Dar es
salaam juu ya kuwanza kwenyeshwa moja kwa moja (LIVE)michuano ya mpira wa
kikapu wa marekani maarufu kama (NBA league) kupitia king'amuzi cha
(TING)ambapo amesema mechi zote zitakuwa zikirushwa juma pili alufajiri na
marudio yake kila jumapili saa 8:30 mchana ambapo mechi ya kwanza kurushwa
hewani itakuwa kati ya Brookyn na Miami usiku wa kuamkia jumapili saa 9:30
alufajiri na marudio yake itakuwa 8;30 mchana siku ya jumapili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment