Wednesday, November 21, 2012

MKUTANO WA 23 WA VIWANDA WAFANYIKA JIJIN DAR ES SALAAM

 Waziri wa viwanda na biashara na masoko mhe Abdala Kigoda akitoa hotuba wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa 23 wa siku ya viwanda Afrika uliofanyika leo katika Hotel ya Serena jijini Dar es salaam lengo la mkutano huo nikujadili changamoto zinazoikabili sekta ya viwanda barani Afrika ambapo amesema sekta ya viwanda nchini bado ni changamoto kubwa ukilinganisha na nchi nyingine barani Afrika katika ushindani wa kibiashara ndani na nje ya nchi,vilevile mkutano huo uliambatana na uzinduzi wa Ripoti maalumu ya hali ya ushindani wa sekta ya viwanda nchini.
 mkurugenzi wa viwanda mama (NDC)shirika la maendeleo ya Taifa Bw:Alley Mwkibolwa akichangia mada kwenye mkutano huo kuhusiana na makaa ya mawe yaliganga  na mchuchuma mbapo akisisitiza sekta ya viwanda kutumia furusa hiyo katika kukuza viwanda nchini pamoja na uchumi kwa ujumla
 Afisa uhusiano wa shirika la viwango Tanzania TBS Bi:Roida Ndusamila akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu ushiriki wao katika mkutano huo ambapo amesema lengo lao nikutoa elimu kwa wenye viwanda walioshiriki kwenye mkutano huo umuhimu wakutengeneza bidhaa zenye ubora na viwango vinavyositahili ilikupata soko la ndani na nje ya nchi.
Meneja wa uhusiano Bw:Abeli Ngapemba akitoa ufafanuzi kuhusina kaa la mawe kutoka liganga na mchuchuma kwa mmoja wa wajumbe alieshiriki kwe mkutano huo leo.

No comments:

Post a Comment