Wednesday, November 21, 2012

MAANDALIZI YA MAONYESHO YA NGUVU KAZI KUFANYIKA MJINI BUJUMBURA NCHINI BURUNDI

 Waziri wa Kazi na Ajira Mhe:Gaudencia Kabaka,akiongea na waandishi wa habari leo Ofisini kwake jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya maonyesho ya 13 ya nguvu kazi yanayotarajiwa kufanyika katika nchi ya Burundi mjini Bujumbura na kunzia tarehe 2-9 mwezi 12 mwaka huu,ambapo amesema dhumuni kuu la maonyesho hayo nikuwezesha urasimishaji wa shuguli za sekta isiyo rasmi katika ukanda wa Afrika mashariki kwakuwapatia furusa wajasiliamali wa sekta hii kuonyesha bidha zao kukutana na wajasiliamali wenzao kubadilishina taarifa kukuza masoko ya bidhaa na huduma pamoja na kuwezesha upatikanaji wa taarifa mbalimbali.
 Baadhi ya wakuu wa idara mbalimbali kutoka wizara ya kazi na ajira, pamoja na waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo wa maandalizi ya maonyesho ya 13 ya nguvu kazi yanayotarajiwa kufanyika katika nchi ya Burundi mjini Bujumbura na kunzia tarehe 2-9 mwezi 12 mwaka huu.

KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA TIGO YAPATA WASHINDI WENGINE 42 KATIKA DROO YA PILI YA SMARTCARD





 

 Meneja wa intaneti wa Tigo Bw:Titus Kafuma (kushoto) akiongea na waandishi wa habari leo katika Hotel ya JB BELIMONT jijini Dar es salaam wakati wakuchezesha Droo ya pili ya SMARTCARD  ambapo wateja 42 wameibuka wandi wa Droo hiyo huku washindi wawili wakipata kifurushi cha vocha ya Shilingi 50,000 manunuzi ya bidhaa katika maduka ambayo tigo itawaelekeza kufanya manunuzi hayo huku wateja wengine wakijishindia tiketi za kwenda kuangalia mpira katika kumbi za mpira Tarehe 9 mwezi wa 12 kutizama mechi za machesta city na machesta untd na wengine wakishinda tiketi za kwenda kula Dina katika hotel zenye hadhi ya juu na washindi wengine wamejishindia tiketi za kwenda kuangalia sinema katika kumbi ambazo kampuni ya simu tigo itakuwa imewalipia (kulia)Afisa msaidizi uhusinoTigo Bi:Tuli Mwaikenda
Meneja wa ofa tigo Bw;David Swekwao (katikati)akichezesha Droo ya pili ya SmartCard(kushoto)Afisa msaidizi uhusinoTigo Bi:Tuli Mwaikenda(kulia)mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubaatisha Bw:Abdallah Hemedy.

No comments:

Post a Comment