Saturday, June 2, 2012

UJUMBE WA MAREKANI WAONANA NA RAIS DK. SHEIN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Seneta wa Marekani Christopher
Coons,akiwa na Ujumbe aliofuatana nao  walipofika Ikulu Mjini Zanzibar
leo,kuzungumza na Rais.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Seneta wa Marekani Christopher
Coons,akiwa na Ujumbe aliofuatana nao  walipofika Ikulu Mjini Zanzibar
leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Seneta wa Marekani Christopher
Coons,akiwa na Ujumbe aliofuatana nao  walipofika Ikulu Mjini Zanzibar
leo

No comments:

Post a Comment