ADVERTISEMENTS/MATANGAZO
Saturday, June 2, 2012
MBWANA SAMATTA AWA GUMZO HUKO ABDIJAN IVORY COAST
Mchezaji wa timu
ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na TP Mazembe ya Jamhuri ya
kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta akisaini vitabu na jezi za
mashabiki wa mpira wa miguu nchini Ivory Coast jana mara baada ya
mazoezi, mchezaji huyo amekuwa gumzo nchini humo kutokana na uwezo wake
uwanjani na huenda pia kutokana na timu anayochezea ya TP Mazembe kwani
ni timu ambayo imekuwa ikifanya vizuri sana barani Afrika na Dunia pia
kwa upande wa vilabu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment