Saturday, June 2, 2012

MBWANA SAMATTA AWA GUMZO HUKO ABDIJAN IVORY COAST

Mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na TP Mazembe ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta akisaini vitabu na jezi za mashabiki wa mpira wa miguu nchini Ivory Coast jana mara baada ya mazoezi, mchezaji huyo amekuwa gumzo nchini humo kutokana na uwezo wake uwanjani na huenda pia kutokana na timu anayochezea ya TP Mazembe kwani ni timu ambayo imekuwa ikifanya vizuri sana barani Afrika na Dunia pia kwa upande wa vilabu.

No comments:

Post a Comment