.JPG) |
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya vitambulisho vya Taifa Bw.Dickson Maimu
Akiongea na wahariri wa vyombo vya habari na waandishi wa habari
waandamizi leo makao makuu ya mamlaka ya vitambulisho vya Taifa jijini
Dar es salaam kuhusu kusitishwa kwa muda uzinduzi wautoaji vitambulisho
vyaya Taifa uliokuwa ufanyike mapema mwezi huu ili kupisha kuyafanyia
kazi mapendekezo ya wadau ili yaweze kuingia kwenye mfumo.hata ivyo
Bw.Dickson Maimu amesema mradi umekamilika ila zimejitokeza changamoto
na maitaji ya msingi kutoka kwa wadau muhimu wa vitambulisho vya Taifa
kwa hiyo mamlaka haina budi kuyafanyia kazi ili kitambulisho kiwe
kimekidhi maitaji yote yamsingi.
|
Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari walioudhuria katika mkutano
huo leo katika makao makuu ya mamlaka ya vitambulisho vya taifa jijini
Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment