Monday, December 17, 2012

DK. SHEIN AENDELEZA MIKUTANO NA WIZARA MBALIMBALI, LEO AKUTANA NA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya  Nchi Ofisi ya Rais, ,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.
Watendaji katika Wizara ya Nchi  Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,wakiwa katika Mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika utekelezaji wa kazi za  Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mwinyihaji Mwadini Makame,(kulia) akitoa taarifa ya utekelezaji wa Kazi za Wizara hiyo,katika Mkutano  na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,ukujumuisha na watendaji  katika ukumbi wa Mkutano wa Ikulu Mjini Zanzibar,ikiwa ni mfululizo kwa kila Wizara kuzungumzia  utekelezaji wa kazi zake.

No comments:

Post a Comment