Monday, December 17, 2012

BODI ZA MFUKO WA BARABARA NA WAKALA WA BARABARA ZA ZINDULIWA JIJINI DAR LEO.

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akimpa zawadi Mjumbe wa Bodi ya mfuko wa Barabara aliemaliza muda wake kwa mujibu wa sheria za Bodi Mhandisi Omar Chambo (kushoto) ,Waziri Magufuli amemshukuru Mhandisi Omar Chambo. ambae pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi pamoja na wajumbe wengine waliomaliza muda wao kwa mchango mkubwa walioutoa katika mfukona kuleta ufanisi.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akizungumza wakati akizindua Bodi ya Mfuko wa Barabara na Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) leo jijini dar es Salaam.
Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya uzinduzi wa Bodi hizo leo jijini Dar es salaam , ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (hayupo pichani).
Mwenyekiti wa Bodi ya ya Mfuko wa Barabara Dr. James Wanyancha akitoa hotoba yake wakati wa uz

No comments:

Post a Comment