Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na
Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa UVCCM, Benno Malisa alipowasili
ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa
Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012
Nderemo baada ya Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwasili ukumbi wa Chuo cha
Mipango mjini Dodoma kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya ya
Vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.
Meza kuu na sehemu za wajumbe
katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma wakati wa ufunguzi wa
Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya ya Vijana wa chama tawala leo
Oktoba 23, 2012
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa UVCCM.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa UVCCM pamoja na ujumbe wa
viongozi wa jumuiya za vijana toka nchi mbalimbali marafiki
:
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa Chipukizi wa UVCCM.
Picha na Muhidin Michuzi
Picha na Muhidin Michuzi
No comments:
Post a Comment