Ajali
mbaya iliyotokea maeneo ya Mikese mkoani Morogoro, roli aina Scania
113- T204 AKR likitoke Mbeya na mzigo wa viazi mviringo kuelekea Dar
liliacha njia na kuanguka pembeni mwa barabara baada ya kugonga mti na
kuua mtu mmoja aliekuwemo. Mashuhuda wa tukio hilo waliwaeleza
wanahabari kwamba aliyekufa ni utingo wa lori hilo wakati dereva
alitokomea porini baada ya ajali huku mwili wa marehemu ukipelekwa
Hospitali ya Mkoa wa Morogoro.
No comments:
Post a Comment