Sugu na Mkoloni wakizidi kuwadatisha mashabiki. |
Juma Nature na kundi lake la Wanaume Halisi likifanya makamuzi stejini. |
![]() |
Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan akiwasalimia mashabiki wa Dar Live |
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari nae akitoa 'verse' kuupamba usiku wa Sugu ndani ya Dar Live. |
Profesa Jay akiwapa burudani mashabiki wa Dar Live. |
No comments:
Post a Comment