Thursday, June 28, 2012

MKUTANO WA JUMUIYA YA WASTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ,ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar Mohd Ali Mwalim huko katika mkutano Mkuu wa Wastaafu hao Bwawani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akiwahutubia wastaafu wa Jumuiya ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar  huko katika mkutano Mkuu wa Wastaafu hao Bwawani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein wakatikati akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wastaafu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar  huko katika mkutano wa Jumuiya hio Bwawani Mjini Zanzibar.
Miongoni mwa Wastaafu wa Jumuiya ya Muungano wa Tanzania wakimsikiliza Rais wa Zanzibar hayupo pichani wakati alipokutana nao huko Bwawani Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment