ADVERTISEMENTS/MATANGAZO
Wednesday, June 6, 2012
MGOMBEA AWAASA WANACHAMA WA KLABU YA YANGA KUCHANGA 5000 KILA SIKU
Mgombea wa Makamu
Mwenyekiti wa Klabu ya yanga Bw, Ayubu Nyenzi
katikati akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam
alipokutana wakati alipokutana nao na kuelezea nia yake ya kugombea kiti
hicho
ambapo alisema kuwa anataka agombee ili awaase wanachama wa Yanga
kuchanga kufunga mkanda na kuchangia klabu hiyo shilingi 5000 kila siku
kwa ajili ya kumaliza matatizo yaliyopo klabuni
hapo na sio kutegemea misaada kutoka kwa wafadhili. Alisema kuwa endapo
wanachama watatoa Sh, 5000 kila mmoja zitapatikana kiasi cha sh,
milioni 70 kwa mwezi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment